Thursday, January 6, 2011

KHERI NA MAFANIKIO YA MWAKA MPYA 2011


HABARI WAPENZI WOOTE WA BLOG

NAMSHUKURU MUNGU KWA KUFIKA SALAMA MWAKA 2011 INGAWA MWANZO WA MWAKA HUU UMEKUA NA KAZI NA SAFARI NYINGI SANA KIASI NIMESHINDWA KUSOMA NA KUJIBU MAIL WALA KUWEKA POST MPYA

NASHUKURU NIMEFIKA SALAMA NYUMBANI NA NITAWEKA POST MPYA SOON

NAWATAKIA KAZI NA SIKU NJEMA

CHEF ISSA


5 comments:

  1. umetutia wasiwasi sana kimya kingi haya tunangoja mafunzo kaka
    happy new year

    ReplyDelete
  2. Wishing you a New Year filled with peace, prosperity and happiness

    ReplyDelete
  3. happy new year chef...naamini mambo mazuri yanakuja zaidi...napenda sana kupika ila blog yako imenipa mshawasha zaidi....

    ReplyDelete
  4. Thax bro! U TOO. WE MISSED U MUCH

    ReplyDelete
  5. thankx sana broda,tunasubiri mapishi.
    mume wangu alifurahia sana vile viazi asante sana.

    ReplyDelete

Tunaheshimu sana maoni yako