CULINARY CHAMBER

LIBENEKE LA CHAKULA BORA WATU LAZIMA WALE MSOSI MTAMU NA SALAMA KUJIFUNZA NI BURE

Tuesday, December 25, 2012

KHERI YA MWAKA MPYA 2013

 
WAPENZI WOTE WA BLOG HII YA CHAKULA BORA NA SALAMA NAWATAKIA KHERI YA MWAKA MPYA 2013
 
MWAKA 2012 UMEKUA NI WAMAFANIKIO SANA, MWENYEZI MUNGU AMENIJAALIA MWANZO WA MWAKA KUANZISHA RESTAURANT NYUMBANI TANZANIA KWA MAFANIKIO MAKUBWA KABISA PIA MWISHO WA MWAKA MWENYEZI MUNGU AMENIJAALIA NIMEPATA MTOTO MZURI SANA WA KIKE AMEEN
 
HAIKUA KAZI NDOGO KUANZISHA RESTAURANT NA KUHAKIKISHA WALAJI WOTE WAWE KATIKA MIKONO SALAMA NA WAFURAHIE CHAKULA.
 
KWASASA NIPO MAPUMZIKONI NITAJITAIDI SANA NIWEZE KUWEKA RECIPE ZOOTE KATIKA PICHA PIA NIWEKE RECIPE MPYA MUWEZE FURAHIA MWAKA MPYA.
 
NAIMANI TUTAUANZA MWAKA 2013 KWA FURAHA, AFYA NJEMA NA MAFANIKIO
 
HUKU NI BARIDI SANA  
 
 
NAWATAKIA SIKU NA KAZI NJEMA
 
CHEF ISSA
 
 
 
 
 

2 comments:

Anonymous said...

kaka ulifungua blog kisha ukaitangaza nasi tukakuunga mkono na kuwa mashabiki wa hali na mali wa blog hii muadhama. lakini ghafla tu ukaacha kupost kwa muda mrefu kila tukiingia page ipo vilevile mpaka tukachoka tukaona ni walewale . sasa umerudi tena kwa ahadi lukuki ya kurudi kama zamani. binafsi nina wasiwasi sasa na ahadi zako, tafadhali thibitisha ahadi yako na kama ukishindwa ku update ni bora ufunge tu hii blog nasi wapenzi wake tuiondoe akilini mwetu . kun muda fulani blog hii ilikuwa chachu ya furaha na upendo katika familia zetu .
wakatabahu

Anonymous said...

wellcome back chef, tunavisubiri kwa hamu new mapochopocho