CULINARY CHAMBER

LIBENEKE LA CHAKULA BORA WATU LAZIMA WALE MSOSI MTAMU NA SALAMA KUJIFUNZA NI BURE

Thursday, August 22, 2013

NAOMBA KURA ZENU KATIKA SHINDANO LA BLOG BORA YA CHAKULA TANZANIA 2013

WAPENZI WA BLOG HII NAOMBA KURA ZENU NDUGU ZANGU MAELEZO ZAIDI YAPO HAPO CHINI NA YANAELEWEKA VIZURI


Jinsi ya kupiga kura

1. Itafunguka ukurasa na kuonyesha website husika ya kwanza kabisa inasema vote for Tanzania best food blog hiyo hiyo fungua . 

2. Kisha utafunguka ukurasa mwingine ukisema PIGA KURA YAKO KUCHAGUA BEST FOOD BLOG bonyeza tena hapo

3. Kisha itafunguka ukurasa wenye majina ya blog zote zinazoshindana blog yetu ya active chef ni yakwanza kabisa bonyeza kiduara cheusi upande wa kushoto ilikuichangua na kisha piga kura yako tukufu tushinde mtu wangu.
 
 
 

NAWASHUKURU SANA WAPENZI WOTE WA BLOG HII YA CHAKULA BORA NA SALAMA

No comments: