CULINARY CHAMBER

LIBENEKE LA CHAKULA BORA WATU LAZIMA WALE MSOSI MTAMU NA SALAMA KUJIFUNZA NI BURE

Monday, January 4, 2010

NAKARIBISHA MASWALI NA MAONI MUDA WOTE.

KWA YEYOTE ANAEPENDA KUCHANGIA AU HAJAELEWA VIZURI SEHEMU YEYOTE ILE TAFADHALI TOA MAONI AU ULIZA MASWALI ILI UPATE UFAFANUZI ZAIDI NASHUKURU SANA WOTE MNAOCHANGIA NA MUDA SIO MREFU DARASA LITAANZA RASMI KWA KUZINGATIA MAONI YA WASOMAJI.

DARASA LITAKAU KWA MTINDO WA KUANDAA CHAKUALA KUTOKA KWENYE STARTER HADI DESSERT TUTAANZA NA MILO MITATU HADI MILO SABA INAKUAJE.

WAKATI HUO HUO TUTAKUA TUNAJIFUNZA KUCHONGA NA KUREMBA MBOGA MABLI MBALI.

Thank you so much for all those who buy their time to give very productive comments on my blog, I real appreciate thank you once again. If you find any difficulties to understand recipes in kiswahili and you like the dish picture please just email me on issakesu@gmail.com  Soon I will send you the recipe in English.

Chef Issa

No comments: