CULINARY CHAMBER

LIBENEKE LA CHAKULA BORA WATU LAZIMA WALE MSOSI MTAMU NA SALAMA KUJIFUNZA NI BURE

Wednesday, April 13, 2011

JIFUNZE KUTENGENEZA MSETO HUU WA AINA YAKE NI RAHISI NA NAFUU


LADHA YA CHAKULA HIKI NI SAFI SANA UKIONJA MARA MOJA UTATAKA KULA KILASIKU YAMY YAMY

MAHITAJI'

240 gram choroko nyeusi (black lentils or whole black Urad dal )

120 Maharage mekundu (Kidney beans)
1 kijiko kidogo cha chai cumin seeds
2 kijiko kidogo cha chai pili pili ya kijani, slice ndogo ndogo
1 kijiko kidogo cha chai tangawizi iliyosagwa
1 kijiko kidogo cha chai unga wa giligilani (coriander powder)
1 kijiko kidogo cha chai unga wa hiriki (cardamom powder)
1 kitunguu kikubwa
3 kijiko kikubwa cha chakula siagi (2 kijiko kikubwa cha vegetable oil)
3 mbegu za karafuu
2 vipande vya mdalasini (cinnamon stick)
1 Bay leaf
1/2 kijiko cha chai unga wa manjano (turmeric powder)
240 ya nyanya ya kusagwa ( tomato puree)
240 gram ya cream au maziwa kwa kuongeza ladha
5gram chumvi
Majani ya giligilani kwa kupambia


JINSI YA KUANDAA FATILIA PICHA NA MAELEZO HAPO CHINI

































KAA TAYARI KWA RECIPE



No comments: