CULINARY CHAMBER

LIBENEKE LA CHAKULA BORA WATU LAZIMA WALE MSOSI MTAMU NA SALAMA KUJIFUNZA NI BURE

Tuesday, March 30, 2010

MWANAO ANAUZITO MDOGO NA ANASUMBUA KULA?? MSAIDIE APENDE KULA!!!

MATATIZO YA MTOTO KUTOPENDA KULA YANASABABISHWA NA VITU VINGI SANA MOJA WAPO IKIWA NA KUKOSA HAMU YA KULA HII PIA INAWEZA KUSABABISHWA NA KINYWA KUTOKUA SAFI NA KUKOSA LADHA KWA CHAKULA PIA IKAMPELEKEA KUTOPENDA KABISA KULA.

MFANO MTOTO UNAPOMSAFISHA KINYWA TAFADHALI KUMBUKA KUBRASH POLE POLE SANA ULIMI ILI KUONDOA ULE UTANDO WA MAZIWA KATIKA ULIMI ANGALIA SANA UZIMUUMIZE MTOTO.

HATA MTU MZIMA KAMA HUNA HAMU YA KULA HUWEZI KULA KABISA TIBA HII NI KWA MTU WA LIKAYEYOTE ASIYE NA HAMU YA KULA TUMIA TANGAWIZI KATIKA JUICE NA CHAKULA WEKA KIASI KIDOGO TU SI MPAKA IWASHE LA HASHA! ITAKUONGEZEA SANA HAMU YA KULA.

HAPA CHINI NI USHAHIDI WA MAMA ANAYEMPENDA NA KUMJALI MWANAE ALIFATA MAFUNZO HAYA NA HIZI NI SHUKURANI ZAKE BAADA YA KUONA MAENDEKEO NA MAFANIKO YA MWANAE.

Hi Chef Issa
Mie naomba nikushuru kwa recipe yako ilee kuhusiana nawatoto wasikula maana imemsaida saana mwanangu, amefanikiwa kuongezeka ka kilo wakati miezi miwili iliyofuatana clinic alikuwa anashuka kgs
nilichokuwa nafanya ni kumchanganyia tangawizi katika kila mlo wake ukiwepo kumchemshia Samaki /supu pamoja na tangawizi na kisha kuja tumbukiza kama ni ndizi nk.

na kumsaigia juice yenye tangawizi, japo nilishindwa ile kutumia ile kumcheshia kwenye maziwa sababu anatumia mawaziwa ya kopo nilichokuwa nafanya kuchemsha maji na tangawizi ndo hayo namkorogea nayo maziwa
Ahsante endelea kutupa darasa zaidi...na ikiwezekana tupe recipe zingine za watoto tofauti tofauti
Mama Iqrah!!

KWA MASOMO ZAIDI JINSI YA UTUMIAJI TEMBELEA SEHEMU ILIYOANDIKWA BLOG ACHIVE CLICK KISHA NENDA KATIKA MAFUNZO YA MWEZI WA 2 ANGALIA TAR 3/2/2010 UTAONA MAFUNZO YA KUMSAIDIA MTOTO AU MTU MZIMA ASIEPENDA KULA KISHA ANGALIA MAFUNZO YA TAR 4/2/2010 UTAONA MAFUNZO YA DAWA YA MAFUA SAFI KABISA.

No comments: