CULINARY CHAMBER

LIBENEKE LA CHAKULA BORA WATU LAZIMA WALE MSOSI MTAMU NA SALAMA KUJIFUNZA NI BURE

Saturday, January 26, 2013

JIFUNZE KUPIKA PASTA YA KUCHANGANYA PAMOJA NA NYAMA

 
JIFUNZE KUPIKA PASTA SAFI KABISA NA NAFUU KWA MUDA MCHACHE IKIWA IMECHANGANYWA PAMOJA NA NYAMA YA MBUZI LAKINI KWA MAPISHI HAYA HAYA WEWE UNAWEZA KUPIKA NA NYAMA YA KUKU AU NYAMA NG"OMBE
 
MAHITAJI
 
JINSI YA KUPIKA FATILIA VIDEO NA MAELEZO HAPO CHINI
 
 
HII NI VIDEO YA SEHEMU YA KWANZA


HII NI VIDEO YA SEHEMU YA PILI


HII NI VIDEO YA SEHEMU YA TATU NA YA MWISHO




8 comments:

Anonymous said...

nakuja na hili pishi asee
safi sana

Anonymous said...

aseee me pasta na cheese huwa sipendi,ila kwa mapishi haya ngoja nikapike nione radha yake,napenda mno nyama ya mbuzi

asante kwa upishi unaoeleweka wa video chef

Anonymous said...

swali:moto wa oven ni kiasi gani na dk ngapi kwa ichi chakula?
thax

Anonymous said...

hallo chef,

hongera sana kwa kazi nzuri.

Maoni kuhusu video
-nadhani kama kila kitu kitakua kimetayarishwa , then ukiwa wapika unakua kwenye best position ambayo itatupa watazamaji view nzuri itakua vizuri zaidi.Kwa sababu sehemu unayopikia kwa sasa ni ndogo na inashindwa kuruhus movements na at the same time picha itokee vizuri.
-labda pia pale unapopika mfano kitunguu mpaka kiwe brown,waweza tuonyesha unavyoweka kitunguu motoni,then ukatuonyehs pale kinapokua tayari cha brown.

otherwise nakutakiwa kila mafanikiao kwa kweli,kama kueleweka waeleka bila wasi,unaelekeza vizuri tu.

be blessed,

Anonymous said...

Hi chef Issa pls tuambie moto kiasi gani na Kwako muda gani.
Nasubiri Kwa Hamu jibu ili nilipike pishi hilo.

Anonymous said...

nitajaribu huu upishi tukijaaliwa. Oven moto plz kiasi gani na approx ya muda

Anonymous said...

Sal,Best chef pls naomba unambie nitapata wapi iyo chumvi ya mbogamboga,in europe au nyumbani supamaket gani ili niweze agiza. thanks Bro
A.maganga

Anonymous said...

nimefurahi sana kujua namna ya kuweka cheese.
Dada wa Moshi